Thursday, June 26, 2008

Wakulima wetu!

Picha kwa hisani ya Charahani.
Nimepitia Blogu ya charahani leo nikakuta picha ya kuvutia sana.

Picha hii inaonyesha moja ya vijana wanajitahidi kujenga afya zetu kwa kutumia akili zao katika kilimo. inafurahisha sana kuona kwamba kuna vijana katika nchi hii wenye uwezo wa hali ya juu katika kilimo na kuzingatia wanaanzia bila mtaji wowote lakini wanafanikiwa kutunza bustani katika hali hii!
Hii inaonyesha jinsi tusivyohitaji wawekezaji toka nje katika sekta ya kilimo kama inavyosemwa na wachache kati yetu ikiwamo waheshimiwa wetu waliopo pale bungeni. Sijui hawa wanatoa wapi owoga walionao, nashangaa jinsi wasivyojiamini na kutodiriki kufanya uchunguzi wa kina ili watambue uwezo tulionao katika kilimo miongoni mwa vijana wa Tanzania. Naona hawa wachache bado hawajua faida ya kilimo kama biashara na kuainisha matatizo wanayopata wakulima wetu hata kushindwa kukiendeleza.
Ninasema kwa majigambo kuwa "wakulima" wetu wanafanya kazi kubwa sana na wanamafanikio mazuri sana ukiangalia mazingira wanayofanyia kazi, mitaji wanayoanza nayo na teknologia wanayotumia! kiasi wanachozalisha ni kikubwa sana na bado kuna uwezekano wa kuzalisha zaidi kama tunataka wafanye hivyo. Jana kwenye luninga wakulima wa mbinga walisema kwa mafunzo ya shamba darasa waliopata toka kwa mtaalamu wa kilimo katika wilaya yao wamefanikiwa kuzalisha kahawa nyingi kuliko walivyotegemea na walivyowahi kuzalisha.
Sijui kama hao wawekezaji katika kilimo watatoka kwa mungu, ambako hatuwezi kuhoji uwezo wao!, au watatoka bara jingine , ambao tukienda jifunza nao huwa tunaonyesha uwezo wa hali ya juu kuliko wao, ndio waje walete mapinduzi ya kilimo nchini mwetu! kichekesho kikubwa sana hiki.
Uwekezaji unaingia kwa kishindo katika kila sekta, sijui kama wananchi watapata nafasi huru ya kuwekeza katika sekta yeyote, tutaishia kushindana vita ya kushindwa na Bunge Ltd toka marekani wakati sisi tunanyimwa fursa ya kupata mitaji.
Sijui hizo sekta zinazopewa kipaumbele kama kusamehewa kodi kwa kipindi fulani, kutengewa maeneo maalumu na vituo maalumu vya kuwasaidia wanafaida gani kwetu kama kilimo kilivyo.
Sioni tutakachopoteza kama tunachopoteza kama hatutafanya chaguzi au tunavyofuga uzembe katika Tanesco, tukiweka pesa zetu kwenye kilimo ambacho ninakipa umuhimu wa hali ya juu kuliko sekta zote hapa nchini. Tunahitaji mapinduzi ya Kilimo kama tunataka maisha bora kwa kila mtanzania. Mapinduzi ya kilimo yatapatikana kwa njia zifuatazo;
-kuweka wananchi katika vikundi/ushirika wa kilimo
-kupatia hivi vikundi/ushirika uweza wa kukopa dhana za kisasa za kilimo
-kutoa mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vikundi/ushirika wa kilimo
-Kuhakikisha masoko yenye kutoa bei halali kwa mazao ya kilimo kama wafanyakazi wengine wanavyolipwa mishahara halali
-Kuhakikisha matendo ya ufisadi katika sekta ya kilimo yanakemewa kwa adhabu kali sana, hata kifo, kwa atakayepatikana na kosa la kuhujumu kilimo.

Hakuna Maisha bila kilimo.

15 comments:

Simon Kitururu said...

Kweli kabisa hakuna maisha bila kilimo. Na sasa upungufu wa chakula duniani ndio unazidi. sitashangaa yatokeayo Haiti kuenea nchi kibao.

Anonymous said...

HAYA MIMI NILITABIRI,NIKASEMA TUACHANE NA HII TEKINILOJIA TUJIKITE KATIKA KILIMO CHETU CHA MIKA ILE YA BABU ZETU.

AMANI KAKA.

luihamu said...

mkuu Mloyi
nimerudi tena.

amani kaka.

Anonymous said...

amani kaka
ijumaa nilisikia jina lako likitajwa sana na kaka Alutta wa magic kipindi cha city lock na akagusia kufungua blogu.

amani kaka.

chemshabongo said...

mkuu moto umeuzima? naona mpaka majivu yamepoa vipi mkuu? mbona kimya? kuni zimeisha nini? washamoto kaka watu tuuote!

rudi kundini mikuu!

Anonymous said...

Mloyi vipi?? Mimi ni class mate wako ATC. Tuwasiliane thru tzpaulo@yahoo.com

Reggy's said...

umepotea sana mkuu, vipi sie bado tupo kimya kimya

Rodrique Ngowi said...

Mloyi,
Habari za siku nyingi?
This is Rodrique Ngowi. Ulipata ujumbe wangu niliokutumia baada ya wewe kuweka comment katika blog yangu?
Nitumie e-mail yako.

Anonymous said...

blog nzuri.

Anonymous said...

Hi!
You may probably be very curious to know how one can make real money on investments.
There is no initial capital needed.
You may begin earning with a sum that usually goes
on daily food, that's 20-100 dollars.
I have been participating in one project for several years,
and I'm ready to let you know my secrets at my blog.

Please visit blog and send me private message to get the info.

P.S. I make 1000-2000 per daily now.

http://theinvestblog.com [url=http://theinvestblog.com]Online Investment Blog[/url]

Anonymous said...

Отличная статья! большое спасибо автору за интересный материал. Удачи в развитии!!!
http://www.miriadafilms.ru/
motowaka.blogspot.com

Anonymous said...

Почему регистрация не работает ?

Anonymous said...

Decide to be a good person who will not be evil.
Inherent in the offer of clone hosting is a clue:::"Earn" by hurting others. This violates this vow, causing people to incurr evil, and the clue you need to avoid it. Sadly, as young people too many are still corrupted, still unenlightened and make the mistake when offered.
Only innocent pure children ascend into heaven, while evil is relegated to entering clone hosting, where they are reincarnated as lesser life forms. One day the Christian Rapture will be used as a "consolation prize", and usher in the era of compensation according to the Bible:::1000 years with Jesus on Earth.
Everlasting life with Jesus, but only for true believers:::Placement to suffer on the next Planet Earth punishment for worshipping a false god.

"Some people are evil." This is the gods fulfilling people's history by pushing them into that legacy. This is the gods accepting culpability and blame with their participation.
As we devolve and approach The End the gods transition to temptation, deceiving them into thinking they are "earning", allowing them to wash their hands of culpability. As this occurrs for more of us in society the gods are preparing for the Apocalypse, for when The End comes the gods will not be to blame for the result.
The disfavored think the opposite, that now that they are participating they have favor, and they will live forever because of it.

1.14
9:20a
Talk of Republicans unwillingness to raise the debt ceiling. They insist on spending cuts.
As inefficent as government has been allowed to become perhaps we should begin with the size of government and look to their own support staff. Sacrifice needs to be made by all. I am concerned there is nepotism and favoritism occurring in these support jobs, and the size gets out of hand because of it. I would expect these Republicans would not be willing to look within their own offices.
Federal and state governments is very much like the farmer and his water allocation:::To continue to achieve increasing allocations they would rather discharge the water rather than report underuse.
Perhaps if I was allowed to work at the Department of Education some progress could have been made, a framework allowed by the Antients. But watching them instruct the clone host fakes in the Federal government to hold out and force the consservative Democrat Obama to look bad illustrates the Antients have made up their minds and intend to force it.
And I made $100B, yet Mike is asking to be allowed to hunt me down when the shit hits the fan, and he has the financial ability to be mobile enough to do so.
I would exterminate the gods and all the planets of good little children they created, all their legacy, from the face of the universe. I hate this fucking filth.

The gods may share some values of the conservatives (mostly good, a little evil), with the exception of capitalism, warmongering and environmental degredation, but they also share in the economic degredation of the conservatives which will bring the United States to bankrupcy and anarchy. It initiated with Ronald Reagan taking the National Debt from $1T to $6T.
And me, the hundred billion dollar man, will have to meekly ask for a nice apartment (conservative timeshare dream).
As long as the gods have this vested interest of the Situation they are calling the shots. They order all proceedings to ensure they get what they want. This is not to say they will transistion when it is over, but I suspect this final absolution of culpability is necessary for them to completely wash their hands of Earth in preparation for the Apocalypse.



Anonymous said...

Just as the gods used WWII to justify an influx of new technologies, including the voice in your head, so will they use the impending pestilence which kills over half the world's population to justify historical medical advances, including the "cure of aging", initiating the "1000 years with Jesus on Earth", despite biotechnology already accomplishing these goals.
We've seen this tactic used recently with AIDS, targetted at homosexuals and blacks in Africa with the biotechnology product. The gods control everything on Earth, and althugh sold AIDS to your enemies as revenge, their real purpose was to enlighten you regarding sex:::Back-handed help. It was very effective with homosexuals in the USA, but sex is among the most powerful temptations with Africans. Remeber it is always the gods:::Slavery, AIDS, drive-bys, crack babies, pimps prostituting 10 year-old girls. And, contrary to your belief the victim doesn't go anywhere, they are reincarnated back to Earth like everyone else when we die.
Then, as promised, The End will come with fire::::Global tectonic subduction.

There was a very real perception that bi-racial was much worse for the white than it was for the person of color. The liberal culture, which was designed and promoted with the god's tools to achieve their Apocalyptic goals, screamed racism when there was a very reasonable explanation for this reality::::
In this white punishment known as the United States the person of color has already adopted the disfavors/temptations intended for another race. But by associating/mating with a person of color the white is newly adopting the disfavors of another culture.
And this is the reason why people of color are not welcome in the United States. The gods control everything:::The perception they want to create, the thoughts they want you to have.
People of color can't recover from absorbing the temptations from two cultures. And why they become more and more like so many blacks in America:::Veterans at absorbing the temptations of two cultures.
To further illustrate this is why California's educational system/funding was ranked #1 when California was white:::Education being the basis of the affluent economic system. Now even public higher education has become unaffordable.

Don't forget the lessons the 'ole white preacher taught:::Dancing is a sin, spare the rod spoil the child.
The gods used the liberal tool to ridicule away so many taboos, paving the way for the decay of society and ultimately the End Times::::::
Black behavior was controlled by the KKK. Men's behavior was controlled by marriage for thousands of years.
When married by 15 men never gained the taste of promiscuity. Once the gods used the budding liberalism tool the men set the tone for the deteriorating enviornment centered around their gross disfavor.
Women's relinquishing control of pre-arranged marriage will be what costs mankind everything in The End. It's all their fault. Men are pigs, essentially just primally responsive disfavored beings who if given the freedom will abuse based on the impulses the god's push them into. Whereas under pre-arranged marriage this behavior was contained now the promiscuous fraternity house epitomizes the pinnicle of what a "real man" should be like. And sadly the women fall into line.

The gods behave monsterously in the course of managing Planet Earth but they demand people be good if you are to have a chance to ascend in a future life.
Not only is doing the right things important (praying, attoning for your sins, thinking the right way:::accepting humility, modesty, vulnerability), so is avoiding the wrong things important as well:::"Go and sin no more".
You NEED active parents who share wisdom to have a real chance to ascend into heaven in a future life, and you MUST be a good parent as well to have that opportunity. Once your children have been raised something changes, something has been decided about you. This is exactly that.

Celana Hernia said...

Nice blog and article, thanks for sharing. However want to statement on few common issues, The website taste is great, the articles is in point of fact excellent