Wednesday, January 23, 2008

NIMEPOTEZA MDOGO WANGU

Tarehe 17.01/2008 ilikuwa siku mbaya sana kwangu, baada ya kuwa na shaka ya siku tatu kuhusu hali ya mdogo wangu Majaheni T Newa nilipokea habari ya kusikitisha sana kuhusu kifo chake.Mazishi yalifanyika tarehe 19/01/2008.
Majonzi yaliyonikuta hapo sijui kama sio ndugu, jamaa na marafiki kunituliza yangenipeleka mahali ambapo hakuna ambaye angeamini.

Nashukuru wale walioshirikiana nami katika kipindi hicho kigumu na vilevile kuomba msamaha kwa wale ambao tukio hilo liliwagusa na tukashindwa kupatiana habari.

11 comments:

Anonymous said...

Pole sana Mloyi.Mwenyezi akupe nguvu katika wakati huu mgumu kwako na familia nzima.Poleni.

Anonymous said...

Mloyi pole sana.Niko nawe katika kuomboleza...zemarcopolo

Egidio Ndabagoye said...

Pole sana kaka,ujazwe nguvu katika kipindi hiki kigumu.

luihamu said...

Kaka Mloyi pole sana ndugu yangu.Mapambano yanaendelea.
IRIE MAN.

Rasta hapa.

mwandani said...

Poleni Mloyi.

mwandani said...

Poleni Mloyi.

Alex Mwalyoyo said...

Pole sana bwana mkubwa. Mungu akujalie nguvu uweze kuendelea na majukumu kama kawaida.

mloyi said...

Nimefarijika sana, sio kwa msiba tuu. bali kuona hata baada ya kupotea kwa muda mrefu sana bado mnapita kunitafuta. Changamoto kubwa sana kwangu kujiunga tena kundini.
Tuendelee kuwa pamoja.
Aluta Continua.

Anonymous said...

Mkuu,

Pole sana. Namuomba Mwenyezi Mungu akurejeshee nguvu za mwili na imani. Amen.

F M Tungaraza.

Vimax Canada said...

Nice blog and article, thanks for sharing. However want to statement on few common issues, The website taste is great, the articles is in point of fact excellent

myslot said...

มาแล้วหนังออนไลน์สนุกๆ ดูหนัง Full HD ฟรี Alita: Battle Angel อลิตา แบทเทิล แองเจิ้ล (2019) ดูเมื่อไหร่ก็สนุก

https://www.doonung1234.com/